Lexus SUV
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 5,130
- 6,360
Heshima kwenu wakuu.......naomba mnisaidie kuhusu hii App ya thl.....kama ukifungua account ya huko thl App na pia ukilipia kwa mwezi au miezi....je..utakuwa una log in yaani kuitumia wakati ukiwa offline au mpaka ukiwa na MB bundles....???..msaada tafadhali kwa walioitumia na wanaoendelea kuitumia hii App...