toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,607
- 4,766
Salam wakuu<br />Baada ya kuvutiwa na bidhaa za aliexpress na mimi nikaagiza bidhaa moja hivi<br />Nimeagiza toka tarehe 27/6 mpaka leo tarehe 9/7 bado mzigo wanadai upo hongkong <br />Najaribu kutrack inagoma kwa kutumia track no waliyonipa<br />Ijapokua wananipa info kuhusu mzigo ila nikitumia app ya 17track inagoma kuonyesha<br />Mzigo umetumwa kwa kutumia singapore post<br />Jee nitaupata mzigo bila kutrack?