Msaada kuhusu aliexpress na kutrack mzigo

Msaada kuhusu aliexpress na kutrack mzigo

toplemon

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2017
Posts
4,607
Reaction score
4,766
Salam wakuu<br />Baada ya kuvutiwa na bidhaa za aliexpress na mimi nikaagiza bidhaa moja hivi<br />Nimeagiza toka tarehe 27/6 mpaka leo tarehe 9/7 bado mzigo wanadai upo hongkong <br />Najaribu kutrack inagoma kwa kutumia track no waliyonipa<br />Ijapokua wananipa info kuhusu mzigo ila nikitumia app ya 17track inagoma kuonyesha<br />Mzigo umetumwa kwa kutumia singapore post<br />Jee nitaupata mzigo bila kutrack?
 
Vuta subira kidogo waje.

Karibu
 
nawasbr

Sent from my LG-E410 using JamiiForums mobile app
 
Salam wakuu<br />Baada ya kuvutiwa na bidhaa za aliexpress na mimi nikaagiza bidhaa moja hivi<br />Nimeagiza toka tarehe 27/6 mpaka leo tarehe 9/7 bado mzigo wanadai upo hongkong <br />Najaribu kutrack inagoma kwa kutumia track no waliyonipa<br />Ijapokua wananipa info kuhusu mzigo ila nikitumia app ya 17track inagoma kuonyesha<br />Mzigo umetumwa kwa kutumia singapore post<br />Jee nitaupata mzigo bila kutrack?

Kuwa na subira tu kuorder mizigo online muda mwingine mpaka unasahau, hadi miez mitatu hufika .
 
Kuwa na subira tu kuorder mizigo online muda mwingine mpaka unasahau, hadi miez mitatu hufika .
ila ni kweli aisee

Sent from my LG-E410 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom