KIDOLEGUMBA
JF-Expert Member
- Apr 17, 2013
- 498
- 110
Habari za wiki end wadau, naomba kusaidiwa suluhisho la ku-disconnect kwa modem mara kwa mara pindi napotumia Pd-proxy, je inaweza ikawa ni tatizo la aina ya modem ama settings za pdproxy ?.
Habari za wiki end wadau, naomba kusaidiwa suluhisho la ku-disconnect kwa modem mara kwa mara pindi napotumia Pd-proxy, je inaweza ikawa ni tatizo la aina ya modem ama settings za pdproxy ?.
sio swali mkuu ! Ila nijibu ..!
Nadhani hio inatokana na wewe kutokuweka Hela kwenye Modem !
Jaribu kuweka uone inavyopiga kazi !
Tatizo ela niliyoweka kwenye modem imenyonywa yote kwa kweli! Kumbe modem haitakiwi kusoma 0 Tsh kama inavyosemekana!!
Habari za wiki end wadau, naomba kusaidiwa suluhisho la ku-disconnect kwa modem mara kwa mara pindi napotumia Pd-proxy, je inaweza ikawa ni tatizo la aina ya modem ama settings za pdproxy ?.
kama unatumia zantel huo ndo ugonjwa wake ikiwa na 0$
Asante kwa kunifahamisha, Tatizo inakera sana na huo ndo mtandao mzuri kwenye ku bridge na iyo kitu!
Acheni kupenda vya bure nyie.
Acheni kupenda vya bure nyie.
Waulize wanaofahamu kama ni vya Bure!!
Kaka hicho kizima zima kila dakika 9 kitakupa presha bure weka Bando ule maisha maana hata ukiweka Auto reconnect bado hiyo PDproxy itahitaji kuirestart ndo uanze ng'we ingine
alikhalef anahusika so mcheki akuuzie zile 8GB zaAirtel au 5GB za VodaAsante kwa ushauri, ila bundle za kawaida zina GB chache sana kwa matumiz yanayotufaa wengine na si kwamba sizinunuagi.
alikhalef anahusika so mcheki akuuzie zile 8GB zaAirtel au 5GB za Voda
Hizi hizo 8GB au 5GB bado zipo?
Kwa nini upimiwe wakati waweza tumia bila kipomo. Nitafute.
Nitakupigia mkuu.