Barikiel
JF-Expert Member
- Feb 2, 2014
- 403
- 401
Habari za asubuhi wadau wa mchezo, nina imani mupo salama. Naomba kuuliza kwa wale wataalam waku-edit, mimi nipo kwenye group fulani hivi la kubeti lakini huwa nakua na wasi wasi na huyu jamaa, maana mikeka yake anayoweka ni %100 ina shinda. Na mikeka yake anauza mkeka mmoja shilingi laki moja. Naomba niweke baadhi ya mkeka mniambie, je kweli ni halali au anafanya ku-editi? Maana siku hizi Mambo yamekua mengi; matapeli wako kila kona na njia za utapeli ni nyingi. Kwa anayeweza kuzichunguza hizi tafadhali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app