Fungakazi
Senior Member
- Jan 11, 2012
- 174
- 128
mi nnatumia Nokia 3110c na memory card 1gb tatizo ni kwamba nnashndwa kudownload video zenye mb kubwa mfano 20mb na kuendelea, ikijitahidi sana inadownlod video ya 9 - 12mb lakini nikijaribu 20mb inasema download faild je, nikwamba simu haiwezi kudownload video kubwa au? Msaada pliz