Nkamu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2007
- 223
- 84
Salaam Wakuu wote humu jamvini!
Nimepata modem mpya Huawei E303 ambayo imefungwa ili itumike kwenye mtandao mmoja tu, sasa katika zama hizi za uhuru kwanini mtu ubanwe. Naomba msaada ku-unlock ili niweze kuitumia nipendavyo.
Natanguliza shukrani kwa msaada wenu!
Nimepata modem mpya Huawei E303 ambayo imefungwa ili itumike kwenye mtandao mmoja tu, sasa katika zama hizi za uhuru kwanini mtu ubanwe. Naomba msaada ku-unlock ili niweze kuitumia nipendavyo.
Natanguliza shukrani kwa msaada wenu!