Msaada kuapply chuo

Msaada kuapply chuo

YBN Pharoah

New Member
Joined
Aug 30, 2020
Posts
2
Reaction score
1
Habari wanajamvi poleni kwa majukumu ya hapa na pale.
Samahani naomba ushauri nilipangiwa certificate mwaka Jana lakini nilisoma semester moja ya pili sikuweza kumalizia ada kwaiyo sikuisoma.
je naweza apply September intake ya mwaka huu?

Naomba msaada wenu.
Natanguliza shukrani zangu.
 
Habari wanajamvi poleni kwa majukumu ya hapa na pale.
Samahani naomba ushauri nilipangiwa certificate mwaka Jana lakini nilisoma semester moja ya pili sikuweza kumalizia ada kwaiyo sikuisoma.
je naweza apply September intake ya mwaka huu?

Naomba msaada wenu.
Natanguliza shukrani zangu.
1.kama unataka kuapply chuo cha government saiv wamesuafunga dirisha la udahili but kuapply inawezekana
2.kama Ni chuo cha private dirisha linafungwa 15/9, na kama utaaply chuo kilekile ambacho ulichaguliwa na kuacha kureport inatakiwa uwasiliane nao wakuondoe kwenye system yao ili uweze kufanya application upya
 
Mbona umechelewa kufanya application! Inawezekana kuendelea na semester ya pili kama ya kwanza ulimaliza vzr,ongea na chuo unapotaka kusoma wakupe utaratibu kwa case yako...!
Nili pangiwa TIA singida campus lakini sasa hivi nimeapply TIA dar es salaam campus je hii imekaaje?
 
Back
Top Bottom