YBN Pharoah
New Member
- Aug 30, 2020
- 2
- 1
Habari wanajamvi poleni kwa majukumu ya hapa na pale.
Samahani naomba ushauri nilipangiwa certificate mwaka Jana lakini nilisoma semester moja ya pili sikuweza kumalizia ada kwaiyo sikuisoma.
je naweza apply September intake ya mwaka huu?
Naomba msaada wenu.
Natanguliza shukrani zangu.
Samahani naomba ushauri nilipangiwa certificate mwaka Jana lakini nilisoma semester moja ya pili sikuweza kumalizia ada kwaiyo sikuisoma.
je naweza apply September intake ya mwaka huu?
Naomba msaada wenu.
Natanguliza shukrani zangu.