kuna haja, nahitaji kujua kuwa hata kufanya hivyo sivunji sheria yoyote! Halafu huo unakua ''under cover'' zaidi. Nahitaji uchunguzi rasmi ambao naweza hata kuomba nyaraka kisheria au hata kuhoji wahusika ikibidi!Hain ahaja ya kupata ushauri wa wanasheria si unachunguza tu, ukishapata data za kutosha unamwaga javini, au?
kuna haja, nahitaji kujua kuwa hata kufanya hivyo sivunji sheria yoyote! Halafu huo unakua ''under cover'' zaidi. Nahitaji uchunguzi rasmi ambao naweza hata kuomba nyaraka kisheria au hata kuhoji wahusika ikibidi!