Avumilie tu ndo mambo ya Ndoa hayo baadae ataona kawaida.
Nyie mnataka afanyaje? Amnyime mmewe wa ndoa?
Akisha mnyima aanze kuchukua Machangu kisha alete upupu ndani ya nyumba?
Na akisha pata upupu ndo basi tena.
Avumilie aliapa wataishi kwa shida na raha, kwake shida kwa jamaa raha.
Baadae nae atazoea atakuwa anapata raha tu.
Kiongozi leo umeamkia wapi
Aisee, pole sana.
Inasikitisha kwa mtu aliyeahidi kukulinda katika hali zote, lakini anaonesha ubinafsi wa hali ya juu!
Sijui nia yake ni nini?
Samahani dada, ingawa hujatueleza umri wako, au hata dini yako, na kama una watoto ?
Itasaidia kwa wachangiaji kuweza kukupa ushauri wenye kujenga zaidi bila kukisia.
Kwa mie ningeshauri uwaone viongozi wa dini huko mnakoabudu. Waeleze yote. Pia unaweza kumuona bosi wake hapo jeshini, then urudi nyumbani kwenu kwa wazazi wako mpaka atakapokuja kukuahidi kwa kuomba msamaha wa kutorudia tena. Haya nayaongea niki-assume kwamba utaweza kujikimu kimaisha, maana watanzania wengi umaskini unatufanya tushindwe kufanya tunayotaka.
Pia kama unafamilia yenye watoto wadogo, kama akichukuliwa hatua za kinidhamu kuna mzigo wa kuwatunza watoto..any hebu tuweke wazi kama una watoto au?
Anahitaji kukuheshimu, na ajue kabisa kwamba unapata maumivu, wewe ni binadamu sio mzigo au ngo'mbe. Ni lazima umshinikize aweze kuyafahamu haya.
Vumilia tu baadae utazoea
Utakuwa unaona kawaida tu na tena utapenda zaidi.
nina umri wa miaka 30 na mtoto mmoja wa miaka 3, kujikimu ntaweza tu nna ajira .
Mimi nakushauri hivi:
1. Kama una wazazi rudi kwenu.
2. Ukienda polisi utazua mambo mengine nenda tu home
3. Ukienda TAMWA atakufanyia mambo mengine
4. Kama unandoa ya kanisani omba muachane kisheria (mahakamani)
5. Usije ukawa mjinga kuvumilia upumbavu wake huo (maana naimagine hayo maumivu aakhhhh)
6. Huyo si Baba wala mama au nisema wazazi wako kuwa hutapata wengine achana nae
7 Hilo kosa ukimpeleka hata kwa paroko, mchungaji, hiyo ndoa inavunjwa maramoja
Naomba niishie hapa maana hii thread imeharibu kabisa siku yangu kwa hasira nilizonazo kwa huyo mumeo mjinga
Vumilia tu baadae utazoea
Utakuwa unaona kawaida tu na tena utapenda zaidi.
asante sana Dena nasoma ushaur wenu hadi nalia. Hata police hakuna mazingira rafiki ya kuwarepotia.
....... Kuniacha hataki. Naumia sana moyoni. Kuwaambia wazaz naogopa. Nisaidien mkakati wa kujitoa kwake au nikashtakije kwa wazazi. Naamin Jf ni sehem sahihi ya kupata michango ya kujenga.
Hamjambo wanajamvi wote pole na mgao. Mwenzen kuna tatizo lanikwaza na kunikondesha kwa kweli. Niko kwenye mahusiano huu mwezi wa nne. Katika maongez na huyo mwenzangu akaniambia mambo yake mbalimbali ya maendeleo na mimi nikamwambia nna kakibanda kangu japo cjakamalizia basi imekuwa nongwa anaiponda mbaya, mara wadogo zangu wanafanya Masters, mara nataka kununua coaster, mara nyumba yangu ni m70. In short ka amani kamepotea kimtindo, nna vijimiradi anaviponda pia .sasa nashindwa kuelewa tatizo ni nini?hanijali tena kama zamani. Msaada wa mawazo ndgu zanguni. Asanteni
Huu mchezo ni mbaya mno nishaufanya mara moja .Haufai niliugulia siku tatu . Najutaga sana sitakaa nirudie tena Mungu na wanajamvi wote mnisamehe. Kama kuna mtu humu jamvin anaweza kunipa maushauri ntashukuru sana. Valentine njema.
Natumaini mu wazima week end hii,mi naomba mjadili hili swala la mapenzi kinyume cha maumbile(tigo)katika ndoa kwani katika mijadala mingi jambo hili hujadiliwa haswa linapokuwa nje ya ndoa lakini kuna watu walioko kwenye ndoa ambako jambo hili hutokea sana lakini halijadiliwi kwani watu huona kama vile si mahali pake vile!lakini ukweli ni kwamba lipo na wenzetu wazungu hulijadili waziwazi huku baadhi yao wakisema kufurahishwa sana na mchanganyiko wa tigo na ngono mbabadala kwenye ndoa zao na hili eti hudumisha penzi.Ebu wana jamii tulijadili hili kwa wenye maoni zaidi.Mi bado sijaoa hivyo naondoa swala la conflict of interest.
Pia nashauri wanajamvi tuwe makini na mambo tunayochangia humu??
Wewe dada na wewe angalia hizi posts zako za nyuma
https://www.jamiiforums.com/newreply.php?do=newreply&p=1683192
Na nyingine hii
https://www.jamiiforums.com/newreply.php?do=newreply&p=1620495
Mtatufanya Mungu atuhukumu bure jamani.. Unasema upo kwenye ndoa,...hapo kwenye red umesema upo kwenye mahusiano kwa miezi 4..
Nashindwa kuelewa upo kwenye mahusiano ya miezi 4 na nani?
Na hiyo ni miradi gani??
Tunajua mateso unayopata, lakini tusidanganyane hapa jamvini kama watoto wadogo. leo unasema hiki, kesho tena unasema hiki. Sasa unataka kutuambia nini hapa?? wewe ni mwaminifu kwenye ndoa yako.??
Je hiyo ni adhabu mume wako aliyokupa ?? hakuna anayejua..ila tafuta muda wa kupumzika wewe mwenyewe..vinginevyo utuambie ukweli hapa. Vinginevyo mnatukwaza sana...
Asante..
Avumilie tu ndo mambo ya Ndoa hayo baadae ataona kawaida.
Nyie mnataka afanyaje? Amnyime mmewe wa ndoa?
Akisha mnyima aanze kuchukua Machangu kisha alete upupu ndani ya nyumba?
Na akisha pata upupu ndo basi tena.
Avumilie aliapa wataishi kwa shida na raha, kwake shida kwa jamaa raha.
Baadae nae atazoea atakuwa anapata raha tu.
Duh mpendwa uko juu yaan humu jf watu wako makini sana siku nyingine ukileta jambo humu uwe serious dada wewe, haya maadam ulishaleta jambo lako hili tuambie ukweli sasa tunasubiri, yule wa miezi minne ni nani na mwanajeshi ni nani
Vumilia tu baadae utazoea
Utakuwa unaona kawaida tu na tena utapenda zaidi.