unajua kuingia download mode? siku hizi kuna case simu inaandika inaishiwa na F kama international version halafu kumbe sio, ni model nyengine.Hamna kinachoendelea Hata Niki place software update nothing hapen
Asante mkuu nimeona nikweli model ya ndani ni tofauti ya kwenye about phone inaishia F lakini ya ndani inaishia V naendelea na process za kuinstall nitakupa mrejesho Asante sanaaaunajua kuingia download mode? siku hizi kuna case simu inaandika inaishiwa na F kama international version halafu kumbe sio, ni model nyengine.
zima simu kisha bonyeza cha kuwashia, home button na cha kupunguzia sauti kwa pamoja ili kuingia download mode
ukiwa kwenye download mode itakuonesha model yako halisi.
Asante mkuuHapa cha kufanya ni kuinstall kwa kutumia sammobile kupakua firmware inayoendana na simu yako
Firmware download for Galaxy Note5 SM-N920C
Au kama sammobile inasumbua jaribu hapa Model : SM-N920C - Galaxy Note 5 — Samsung-Firmware.org
Ukiona firmware inayoendana na simu yako (angalia firmware ya sasa ni ya Nchi gani na download hiyo hiyo firmware ya 7.0)
Hapo hapo utaona instructions za kutumia Odin kuflash firmware yako mpya kwenye simu yako kwa kutumia computer.
Lakini kama kweli ni N920F basi hii haina firmware updates na sikushauri utumia hizo firmware za hapo juu, maana inaweza leta matatizo.
usiinstall kitu we toka tu, hio ndio model yako halisi. siku ukiamua kuja kuflash android 7 au 8 utahitaji file hilo la vAsante mkuu nimeona nikweli model ya ndani ni tofauti ya kwenye about phone inaishia F lakini ya ndani inaishia V naendelea na process za kuinstall nitakupa mrejesho Asante sanaaa