Msaada Ku-Unlock Simu Tecno Spark 2

Msaada Ku-Unlock Simu Tecno Spark 2

Ndikwega

R I P
Joined
Feb 1, 2012
Posts
5,979
Reaction score
5,529
Habari wanajukwaa!

Kama heading inavyojieleza, msaada wenu Jinsi Kufungua Tecno Spark 2 maana Mdau Kasahau Password.

Natanguliza Shukrani zangu za dhati Kwenu!
 
Una hakika ni ya kwake?
Akutajie email na password....then log in to another device uhakikishe
 
Msaada ni kurudisha simu ya watu... Simu ina password, ina fingerprint na ina email ..vyote vimesahaulika
 
Downlod software ya tecno yenye zaidi ya android 6>>> then fanya kuflash mambo yanakua poa zaidi
 
Una hakika ni ya kwake?
Akutajie email na password....then log in to another device uhakikishe
Labda kama kama kuna njia ya Kufungua kutumia Email Mkuu, Tafadhali Msaada!
 
Xender....ingia YouTube utapata namna ya kufanya
 
shida inakuja hapa kua baada ya kufanya hard riset itahitaj google accaunt ilio kuepo b4 je uko nayo
 
Back
Top Bottom