Msaada ku unlock nokia N73

KIVURUGA

Member
Jul 13, 2010
23
0
Wakuu naomba msaada jinsi ya kutoa lock kwenye simu , natumia nokia N73, yeyote mwenye ujuzi anisaidie. Aksante
 
yaaani kivp kaka kaka? na imelock kiaje au ndo hauna password unataka upatiwe jinsi ya kuzipata?
 
Inahitaji nini hyo simu?
Umenunua kutoka nje ya Tz au?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom