Soma prospectus yake. Ila kwa mbali naona inaendana endana na mambo renewables .Habari za mda huu wana ndugu wa JF,
Kuna kozi pale open university inaitwa Bachelor of science in Energy Resources hii kozi inahusu nini na fursa zake ni zipi?
Answer1: From my experience. Hakuna field isiyo na fursa kama ukiwa smart au valuable person.shukran sana je vipi kuhusu fursa zake...?