Mlachake
JF-Expert Member
- Oct 13, 2009
- 4,412
- 4,559
Wandugu,
Vyuma vimekaza kweli kweli, Mhindi wangu mpaka leo hajanilipa mshahara wangu wa mwezi uliopita nahisi wa December ndio nitalipwa January mwishoni.
Hivi hakuna sheria yoyote inambana muajiri kwenye suala la kuchelewesha mishahara?
Nimeipitia labour law act karibu yote lakini naona maruweruwe
Vyuma vimekaza kweli kweli, Mhindi wangu mpaka leo hajanilipa mshahara wangu wa mwezi uliopita nahisi wa December ndio nitalipwa January mwishoni.
Hivi hakuna sheria yoyote inambana muajiri kwenye suala la kuchelewesha mishahara?
Nimeipitia labour law act karibu yote lakini naona maruweruwe