789
JF-Expert Member
- Jul 12, 2016
- 262
- 204
Morn jf.
Nimekuja kwenu kuomba ushauri kimawazo mwanzo niliambiwa nitafute chuo nikachaguliwa certificate in law mzumbe now Wazazi wanasema hawana Ada nivumilie mpaka mwakani ila watashulikia kuhusu kuingia jkt
Nipo confused Yani
Nifanye Au nisome kitu gani kifupi Kwa kipind ichi niki wait Ada yA chuo

Nimekuja kwenu kuomba ushauri kimawazo mwanzo niliambiwa nitafute chuo nikachaguliwa certificate in law mzumbe now Wazazi wanasema hawana Ada nivumilie mpaka mwakani ila watashulikia kuhusu kuingia jkt
Nipo confused Yani
Nifanye Au nisome kitu gani kifupi Kwa kipind ichi niki wait Ada yA chuo
