Mtu mbalimbali
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 315
- 413
- Thread starter
-
- #21
vip kuhusu AliExpress bidhaa zao zikojeHawa jamaa mara nyingi wanauza Mitumba ya Simu kwa Kampuni Kubwa kama IPhone, Samsung, Oppo, Huawei, Xiaomi, Vivo, Meizu, HTC,LG, NOKIA, Motorola. Kidogo Xiaomi ndo wameanza kuuza simu mpya.
Ukiagiza simu huchukua siku 28-hadi 45 kwa wale tulioko mikoani. Ila kwa kweli simu zao ni za Ukweli.
Kama wadau walivyokushauri usinunue simu usiyoifahamu, angalia Makampuni maarufu kama nilokutajia hapo juu. Kwa mfano kama umetulia kuna OPPO yenye RAM 6GB na Rom 128 GB inauzwa kwa TZS. 400,000/= almost ni mpya japo ni mtumba.
Jaribu pia uangalie Reviews za watu walokwisha nunua bidhaa kwa huyo seller.
Kwa ufupi hawa jamaa ni waaminifu sana. Lakini unahitajika moyo wa uvumilivu sana kusubiria mzigo wako. Jambo jingine kama uko mbali na Makao makuu ya Mkoa, hii ni changamoto, mzigo unaishia mkoani tofauti na Aliexpress ambao wao wanakuletea hadi Posta ya karibu au Wilayani.
View attachment 1741825
Hawa wapo vizur ila napo usinunue used wala refurb jichange ununue mpya na kabla ya kununua penda kupitia comments za walionunua hiyi bidhaa na pia sizan kama aliexpress kuna freeshiping kama kikuu kwa kila bidhaavip kuhusu AliExpress bidhaa zao zikoje
asante kiongoziHawa wapo vizur ila napo usinunue used wala refurb jichange ununue mpya na kabla ya kununua penda kupitia comments za walionunua hiyi bidhaa na pia sizan kama aliexpress kuna freeshiping kama kikuu kwa kila bidhaa
Shida sio kikuu au aliexpress. Shida ni hyo simu alionesha hapo ni fake. Yaani achana na simu feki kabisa ni matatzo. Ni bora anunue kma ww ulivyofanya, simu inayotoka kwenye company inayojulikana
Simu isiyofikia viwango vilivyoainishwa au simu isiyotengenezwa na company husika lakini inatumia jina la company hiyo kwenye marketingTafsiri ya simu fake ni nn
Simu isiyofikia viwango vilivyoainishwa au simu isiyotengenezwa na company husika lakini inatumia jina la company hiyo kwenye marketing
Umeona ile picha kule juu? Wameandika 512GB storage na 12GB RAM kwa laki 2. Muonekano uliowekwa hapo kwenye picha yenyew haufanani kabisa na simu yenyewe ikija. Hiyo hafikii viwango hvyo kabisa. Na pia inajribu kutrick watu ionekana kma ni SamsungViwango vipi vilivyoainishwa
habari zenu wana jf
naomba ushauri kutoka kwa wazoefu wa online marketing hasa kupitia kikuu maana kuna mzigo nataka kuagiza ila sina uhakika na ubora wa bidhaa zao na ukweli kuhusu features wanazo toa na pia kuhusu delivery.
hivyo kwa anaejua basi naomba anajulishe kuhusu hayo mambo
bidhaa yenyewe ni hii kwenye picha
asante!View attachment 1741229
Mkuu kwa ushauri wangu kununua simu ni bora uende dukani au kama ni nje basi uagize mtu unayemuamini,simu zinazouzwa KiKUU hazinaga majina ya brand,hali inayofanya nisiziamini kabisahabari zenu wana jf
naomba ushauri kutoka kwa wazoefu wa online marketing hasa kupitia kikuu maana kuna mzigo nataka kuagiza ila sina uhakika na ubora wa bidhaa zao na ukweli kuhusu features wanazo toa na pia kuhusu delivery.
hivyo kwa anaejua basi naomba anajulishe kuhusu hayo mambo
bidhaa yenyewe ni hii kwenye picha
asante!View attachment 1741229
Hivi ukishanunua kuna extra cost kwenye collection point zao?Wengine tuna uzoefu mkubwa na KIKUU. Wanauza simu nzuri mno na bei zao ziko chini sana. Hasahasa Refurbished phones.
Hapana Gharama zingine ni hiyo hiyo uliyolipa.Hivi ukishanunua kuna extra cost kwenye collection point zao?