Msaada kazi za Meli(Ubaharia)

Msaada kazi za Meli(Ubaharia)

Kwanza Ubaharia ni Kozi gani?
Nijuavyo mm kuna kozi kama za Marine Engineering hivi, Marine Transportation(Deck),Cardet nk. Sasa hii kozi unayoisema inanipa tabu kidogo.
Anyway Ukimpata Olekashe ama Katandula watakushauri vizuri.

Siamini kama umetafuta kazi vya kutosha, Tatizo lako unataka uanze na dola 2000 au 3000 ezIF unexperience. Umekomaa na Dar kwa nini usiende Mwanza/Kigoma au Kyela?

Af vitu vingine inashangaza mikazi imejaa Mtwara kwenye Gesi kule umekaaa Dar, we unadhani nani anayeweza kufanya kazi kule kama siyo mtu wa marine???

Ni PM nikupe maujuzi dogo
Mkuu kazi za ubaharia zimekuwa ni changamoto kubwa sn,,

Kama huna moyo mgumu,,,unaweza kuishia njiani..

Mimi nilisoma mandatory miaka 10 iliyopita,,,,na vyeti vikaisha miaka mitano bila kupata kazi,,

Sababu ubaharia ni wito?

Nilifanya refresh,,, vyeti vyangu,, nikapata sea time miezi 6,,

Nikasoma rating,,,nikaingia melini,,kwa kununuwa kazi..

Tuwe wakweli mabaharia,,bila mchongo kupata kazi ni ngumu sn.
 
mkuu naomba connection
Tuma cv humo,,
Screenshot_2020-12-09-20-31-45.jpeg
 
Mkuu kazi za ubaharia zimekuwa ni changamoto kubwa sn,,

Kama huna moyo mgumu,,,unaweza kuishia njiani..

Mimi nilisoma mandatory miaka 10 iliyopita,,,,na vyeti vikaisha miaka mitano bila kupata kazi,,

Sababu ubaharia ni wito?

Nilifanya refresh,,, vyeti vyangu,, nikapata sea time miezi 6,,

Nikasoma rating,,,nikaingia melini,,kwa kununuwa kazi..

Tuwe wakweli mabaharia,,bila mchongo kupata kazi ni ngumu sn.
Kazi zipo ila inabidi ukomae upate agent atakaye kuunganisha na penyewe inabidi uwe na hela ya kununua nafasi.
Fursa nyingi zipo nchi za uarubuni
 
Kazi zipo ila inabidi ukomae upate agent atakaye kuunganisha na penyewe inabidi uwe na hela ya kununua nafasi.
Fursa nyingi zipo nchi za uarubuni
Hivi hii mshahara wake ni mzuri sana?,kwa fresh start huwa wanalipwaje mfano wa hata ukiwa baharia azam boats?
 
Kazi zipo ila inabidi ukomae upate agent atakaye kuunganisha na penyewe inabidi uwe na hela ya kununua nafasi.
Fursa nyingi zipo nchi za uarubuni
Ila kwa sasa zimefunguka,,,kazi za meli ni nyingi sana Saudia,,
Hasa baada ya RAIA wa Philippines na India corona kuwasumbuwa..

Mtoa mada nimemuuliza yupo rank gani,,
Aweze kusaidiwa ,,naona kakimbia.
 
Ila kwa sasa zimefunguka,,,kazi za meli ni nyingi sana Saudia,,
Hasa baada ya RAIA wa Philippines na India corona kuwasumbuwa..

Mtoa mada nimemuuliza yupo rank gani,,
Aweze kusaidiwa ,,naona kakimbia.
Ni kweli ni kuchangamkia fursa.
Nahis mtoa mada hajaelewa hata kitu anachooulizia huenda hata hajasomea zile short course ambazo ni mandatory kwa seafarer
 
Ni kweli ni kuchangamkia fursa.
Nahis mtoa mada hajaelewa hata kitu anachooulizia huenda hata hajasomea zile short course ambazo ni mandatory.
Nina mashaka na ubaharia wake,,

Hata katandula pia hamjuwi kwa kumpata,,
 
Back
Top Bottom