Msaada katika Usaili wa Security Officer TAA

Msaada katika Usaili wa Security Officer TAA

Hata mimi pia nimeitwa hiyo post ya airport security officer,
Je hivi mnavyovielezea hapa vinanihusu namimi pia au ni vya huyo mdogo wake tu afu mimi nisubiri nianzishe uzi wangu kuulizia hiki hiki?
 
Hata mimi pia nimeitwa hiyo post ya airport security officer,
Je hivi mnavyovielezea hapa vinanihusu namimi pia au ni vya huyo mdogo wake tu afu mimi nisubiri nianzishe uzi wangu kuulizia hiki hiki?
Anzisha Uzi wako maana paper jmamosi kesho kutwa
 
Hata mimi pia nimeitwa hiyo post ya airport security officer,
Je hivi mnavyovielezea hapa vinanihusu namimi pia au ni vya huyo mdogo wake tu afu mimi nisubiri nianzishe uzi wangu kuulizia hiki hiki?
Umeshafika DUCE.

Naona dogo analalamika jina lake halionekani katika namba zilizotolewa waliitwa 1075 kwenye namba zimetoka 879 na zimetoka leo usiku
 
Wakuu leteni mrejesho mlioenda leo huko maswali yalikiwaje.
 
Habari wapendwa katika bwana.
Tumsifu Yesu Kristo.
Assalam Aleykum.
Habari ...


Ndugu zangu naona Mwenyezi Mungu amefungua neema na mdogo wangu hajawahi kuitwa kwenye Interview ila hakukata tamaa ku update profile hatimate kaitwa katika interview siku ya tarehe 8 Juni. Post aliyoitwa ni Airport Security Officer.

Licha ya kupita JKT pia ana bachelor ya Information system. Natambua JF ni kisima cha maarifa pia kuna watu wengi wanajua mambo ya airport so naomba msaada wenu wa maeneo anayotakiwa kujiandaa kabla ya hiyo interview.

Nashukuru kwa ushirikiano.
Kwanini huyo mdogo ako asije mwenyewe kuuliza?? Au ni wewe mwenyewe?
 
Kwanini huyo mdogo ako asije mwenyewe kuuliza?? Au ni wewe mwenyewe?
Ukiangalia profile ya thread zangu utaona miaka ya 2012 niliomba niende kituo kipi baada ya kupata placement sehem mbili tofauti.

Ukiona naulizia interview zangu mwenyewe basi zitakuwa za u director si hizi za chini.
 
Ukiangalia profile ya thread zangu utaona miaka ya 2012 niliomba niende kituo kipi baada ya kupata placement sehem mbili tofauti.

Ukiona naulizia interview zangu mwenyewe basi zitakuwa za u director si hizi za chini.
Okay,basi mjengee dogo utamaduni wa kujitegemea, graduate anataka kila kitu afanyiwe na kaka? Haipendezi mzee mwenzangu
 
Okay,basi mjengee dogo utamaduni wa kujitemea, graduate anataka kila kitu afanyiwe na kaka? Haipendezi mzee mwenzangu
Mwanaume unamucha ila wa kike unaweza mpoteza anajiandaa kwa upande wake ila JF tuna utamaduni wa kusaidiana ni kisima cha maarifa kuna watu wa kila aina humu.

Jambo linaweza kukushinda ila ukileta humu unatoboa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom