Msaada katika Usaili wa Security Officer TAA

Msaada katika Usaili wa Security Officer TAA

Negrodemus

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2010
Posts
2,318
Reaction score
688
Habari wapendwa katika bwana.
Tumsifu Yesu Kristo.
Assalam Aleykum.
Habari ...


Ndugu zangu naona Mwenyezi Mungu amefungua neema na mdogo wangu hajawahi kuitwa kwenye Interview ila hakukata tamaa ku update profile hatimate kaitwa katika interview siku ya tarehe 8 Juni. Post aliyoitwa ni Airport Security Officer.

Licha ya kupita JKT pia ana bachelor ya Information system. Natambua JF ni kisima cha maarifa pia kuna watu wengi wanajua mambo ya airport so naomba msaada wenu wa maeneo anayotakiwa kujiandaa kabla ya hiyo interview.

Nashukuru kwa ushirikiano.
 
Ajue kutumia computer vizuri sana pia aijue kazi ya ulinzi vizuri .
 
Pia na mm mdogo wangu kaitwa nafasi ya airport operation officer je vinaenda na hiyo au ikoje wakuu tusaidiane
 
Akivuka kwenye mchujo ndipo uje tukupe ujanja. Kwasasa hapo alale tu asubiri bahati.
Maana mchujo ni wakufa mbwa kama si mtu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom