mchakachuaji192
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 366
- 69
wana-JF habarini ya majukum, mwenzenu naombeni mnipe maelezo kuhusiana na shocks up zinazotumia umeme kwenye gari aina ya Toyota Amazon ya mwaka 2004, wiki iliyopita nilikuwa nimepeleka gari kwenye full service nikaambiwa kuwa shock up zimeisha natakiwa kuzibadilisha na fundi akawa amenishauri kuwa niweke za kawaida (zisizotumia umeme) swali langu ni kuwa nikiweka hizo za kawaida hakutakuwa na fault yeyote ktk mfumo wake wa electronics? But fundi msaidizi aliniambia (alinidokeza pembeni kuwa waliwahi kufunga hizo mwaka jana na hazikuweza kufanya kazi kama mwanzo ) Au kama kuna fundi mzuri mnaemjua naomba mnipe mawasiliano yake ili waweze kunifungia hizo shockups, nafikiria kupeleka gari ofisi za Toyota hapa bongo but naogopa kukamulliwa mahela mengi. Nisaidieni kwa hilo jamani. Natanguliza shukrani zangu