Msaada:Kati ya UHAWEI na HTC

Msaada:Kati ya UHAWEI na HTC

clap

Senior Member
Joined
Aug 3, 2013
Posts
188
Reaction score
97
Wakuu naombeni msaada kati ya htc na huawei ni kampuni gan wanatengeneza simu bomba maana nataka ninyakue mmoja wapo ninakahela kidogo sasa nataka niwe na smartphone ahsanten sana
 
Chukua htc kama unachapaa ndef kidogo coz ni imara... bt kama salio dogo chukua huwawei tena ile y300 ni jiwe mbili unusu inayosoma lne zote... na jiwe na upuuzi kwenye maduka ya tigo
 
Chukua htc kama unachapaa ndef kidogo coz ni imara... bt kama salio dogo chukua huwawei tena ile y300 ni jiwe mbili unusu inayosoma lne zote... na jiwe na upuuzi kwenye maduka ya tigo
.

hapo kwenye red umenifurahisha ingekuwa ndo mimi nakimbilia hapo alafu naichakachua isome line zote
.
.
 
Kama una TSh 250k kushuka chini, nenda kwa Huawei, sana sana Y300 kama alivosema mdau juu.
Kama una Tsh 400k hivi, nenda kwa HTC, ila unaweza enda kwa Huawei P6 nayo ni monster.

Ila kwa overall, HTC simu zake ndio bora compared na Huawei.
 
achana na hizo.kwa bei ukiyo nayo ongeza elf 30 tu udake tecno m5 hutojutia pesa yako mkuu
 
ahsanten sana mim nina lak na nusu sasa cjajua kama kuna htc ya hiyo bei
 
nilipita mda c mrefu mjin nimeambiwa huawei y300 inauzwa kwa lak na sabin kwenye maduka ya tigo
 
Huawei tigo shop mliman ni laki moja elfu 95 haishuk wala hwipand me ninayo apa nmenunua juz ni nzur tu
 
inatumia tigo tu ukitaka iliyoflashiwa ndo kwa bei hyo ya lak na 90 mim nilienda duka la tigo iringa ndo nimekutana na hyo bei ya lak na 70
 
Nenda mlimani city duka la tigo wanauza Huawei Acsend Y300 kwa Shillingi 170,000 special offer for 4 weeks from last week

Kisha check na huyu jamaa anafanya unlock iweze tumia line zote kwa gharama ya 20,000, Yupo kariakoo ofisi inaitwa Kariakooonline 0715 353 108

Utakua umetumia 190,000...Hiyo simu ni nzuri sana na bei nafuu sana, ni kubwa na ina kioo kikubwa kuliko hata cha iPhone 4
 
Back
Top Bottom