Msaada: Kati ya BA with Education DUCE na BA in Special needs UDOM

Msaada: Kati ya BA with Education DUCE na BA in Special needs UDOM

Electric Drive

Senior Member
Joined
Nov 2, 2016
Posts
113
Reaction score
87
Wakuu naomba msaada mtu kachaguliwa hizo program na vyuo tajwa,ipi yenye tija zaidi baada ya kumaliza kwa kipindi hiki?
Hyo ya Udom in Bachelor of Education in special needs na DUCE ni Bachelor of arts with Education.
 
Wakuu naomba msaada mtu kachaguliwa hizo program na vyuo tajwa,ipi yenye tija zaidi baada ya kumaliza kwa kipindi hiki?
Hyo ya Udom in Bachelor of Education in special needs na DUCE ni Bachelor of arts with Education.
Mkuu majina ya udom yako wap
 
Hiyo with special need iko juu kidogo kuliko BAED. Special needs utakuwa mwalim lkn katika kuhudumia watu wenye mahitaji muhim kama viziwi,vipofu nk.hiyo BAED ni mwalimu wa kawaida tu.special need sio wengi mtaani ka BAED
 
Hiyo with special need iko juu kidogo kuliko BAED. Special needs utakuwa mwalim lkn katika kuhudumia watu wenye mahitaji muhim kama viziwi,vipofu nk.hiyo BAED ni mwalimu wa kawaida tu.special need sio wengi mtaani ka BAED
Asante kwa ushauri.
 
Chagua faculty kulingana desire/ambition yako ilivyokua inakutuma mwanzoni.

Usiangalie wapi wako wengi wapi wachache. Ipi utapata ajira faster ipi utschelewa. Things change my friend.

Ukifata ndoto zako utapambana kwa kila hali na milango ya fursa itafunguka. Badili fikra ya kila mara eti faculty gani nitatusua mtaani ipi sitatusua. Itakucost mambo yakibadilika.

Fanya hivyo haraka kabla hujakosea, miaka mi3 ni mingi ni bora kabisa kama hujajitafakari ukajua unataka nini uhairishe mwaka wa masomo kwanza. Unaweza ridicule lakini nakuhakikishia this is a fact.

Think twice brother!
 
Special needs kwa UDOM sikushauri!
Tafuta chuo kinaitwa Sebastian kolowa memorial university (SEKOMU) kama unataka kusoma special education na ukawa competent
 
Kama lengo ni kuwa mwalimu kapige hiyo special needs tafuta chuo kizuri kama ushachaguliw a udom na huna option ya kuapply tena sehemu nyingine nenda kapige shule na hakikisha unamantain GPA.
 
Chagua faculty kulingana desire/ambition yako ilivyokua inakutuma mwanzoni.

Usiangalie wapi wako wengi wapi wachache. Ipi utapata ajira faster ipi utschelewa. Things change my friend.

Ukifata ndoto zako utapambana kwa kila hali na milango ya fursa itafunguka. Badili fikra ya kila mara eti faculty gani nitatusua mtaani ipi sitatusua. Itakucost mambo yakibadilika.

Fanya hivyo haraka kabla hujakosea, miaka mi3 ni mingi ni bora kabisa kama hujajitafakari ukajua unataka nini uhairishe mwaka wa masomo kwanza. Unaweza ridicule lakini nakuhakikishia this is a fact.

Think twice brother!
Utakuwa hujaelewa Uzi wangu.Soma comments za wengine
 
Kama lengo ni kuwa mwalimu kapige hiyo special needs tafuta chuo kizuri kama ushachaguliw a udom na huna option ya kuapply tena sehemu nyingine nenda kapige shule na hakikisha unamantain GPA.
Ashachaguliwa UDOM mkuu,nimeuliza ili nimshauri vzuri kwa sababu sina uelewa na course za Education.Mimi niko kada nyingine
 
Special needs kwa UDOM sikushauri!
Tafuta chuo kinaitwa Sebastian kolowa memorial university (SEKOMU) kama unataka kusoma special education na ukawa competent
Option ni hzo mbili mkuu,hawezi kuapply tena kwa sababu lazima a confirm kati ya UD na Udom
 
Labda special needs.

Lakin mkuu, serikali imesema haihtaj walimu wa arts, wamejaa na wa ziada wapo

Hata wa science wengne wako benchi.
 
Back
Top Bottom