Msaada kama maweza kupata kadi mpya ya NHIF baada ya kupoteza ya awali

Saoka

JF-Expert Member
Oct 23, 2018
405
565
Naomba kuuliza kwa anayejua,maana ninepoteza bima yangu ya Afya NHIF.

Je, nawezaje kupata nyingine?

Ahsanteni
 
Nenda Polisi upate Loss report kwanza alaf ndio uende kwa waliokupatia hiyo kadi ya bima uwaeleze waiblock hiyo kadi na wakupatie nyingine. Alaf hebu Jifunze kuongea Kiswahili kizuri, eti nimepoteza bima ya afya, wewe hujapoteza bima,Bali umepoteza kadi ya bima ya afya,Pumbavu
 
Nenda Polisi upate Loss report kwanza alaf ndio uende kwa waliokupatia hiyo kadi ya bima uwaeleze waiblock hiyo kadi na wakupatie nyingine. Alaf hebu Jifunze kuongea Kiswahili kizuri, eti nimepoteza bima ya afya, wewe hujapoteza bima,Bali umepoteza kadi ya bima ya afya,Pumbavu
sahihi mkuu, azingatie tu hayo ili apate huduma ka awali
 
Nenda Polisi upate Loss report kwanza alaf ndio uende kwa waliokupatia hiyo kadi ya bima uwaeleze waiblock hiyo kadi na wakupatie nyingine. Alaf hebu Jifunze kuongea Kiswahili kizuri, eti nimepoteza bima ya afya, wewe hujapoteza bima,Bali umepoteza kadi ya bima ya afya,Pumbavu
Nadhani kuna wengi tu wanaamini ile kadi ndiyo bima yenyewe!
 
Je nikienda makao makuu naweza kupata kadi yangu kwa haraka.
Kadi imepotea nahitaji nyingine.
Pia naomba kujua makao makuu ni wapi?
 
Hatari sana hii yaani kwa Dar es Salaam siwezi kuhudumiwa.
Inamaana hizi kadi zina milolongo hadi mtu anaweza kupoteza maisha.
Makao Makuu yapo Jijini Dodoma Barbara ya Kikwete iendayo UDOM. Huwezi kuipata kwa haraka Bali utafuata taratibu kama ilivyoelezewa hapo juu.
 
Nenda ofisi ya NHIF za mkoa uliopo watakupatia fomu ya kujaza na kuipeleka kituo cha polisi, kisha rudisha ofisi kwao, kitambulisho kipya kitakugharimu sh. 20,000.00
 
Nenda ofisi ya NHIF za mkoa uliopo watakupatia fomu ya kujaza na kuipeleka kituo cha polisi, kisha rudisha ofisi kwao, kitambulisho kipya kitakugharimu sh. 20,000.00
Shukrani mkuu
 
Asante ila ishu sio gharama ila nahitaji kuipata angalau kabla ya ijumaa.
Nenda ofisi ya NHIF za mkoa uliopo watakupatia fomu ya kujaza na kuipeleka kituo cha polisi, kisha rudisha ofisi kwao, kitambulisho kipya kitakugharimu sh. 20,000.00
 
Back
Top Bottom