Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,039
RITA ya posta ni wasumbufu waliotukuka,nilishawahi kufatilia cha mwanangu tena nilikuwa nakihitaji haraka sana kama wewe maana nilikuwa natakiwa kusafiri na nilikuwa nahitaji haraka ili nimfungulie Bima ya afya ila usumbufu wake nilijuta Mara kilikosewa Mara hawaoni kumbukumbu Mara njoo week ijayo,maskini kumbe kilikuwa tayari muda tu!nilivyobadili gia angani nilikipata kwa dk 15tu
Sent by Diaspora
Habari zenu
Nina shida pale RITA makao makuu, naamini ntapata msaada hapa, nahitaji cheti cha mtoto as soon as possible, na tarehe walionipa ya kuchukua ni next month wakati najitaji kusafiri wiki ijayo na mtoto atahitaji passport, bila cheti siwezi kupata passport
Nimejaribu kufatilia zaifi ya mara tatu nimeeleza uharaka ila sijafanikiwa
Mwenye kuweza kunisaidia nikakipata kabla ya alhamisi nitashukuru
Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent by Diaspora