Jemsi
Senior Member
- Mar 22, 2012
- 149
- 20
habari zenu wakuu. natumai nyote ni wazima.
Nina tatizo kwenye simu yangu aina ya DITEL nikiiwasha inawaka lakin screen haionyeshi chochote.kinachoonekana ni mwanga kwa mbali. lakin nikigusa screen ninasikia kabisa ikisense.naomben mwenye ujuz anisaidie hakuna nilichokifanya ni simu imebadilika gafla. natanguliza shukrani.
Nina tatizo kwenye simu yangu aina ya DITEL nikiiwasha inawaka lakin screen haionyeshi chochote.kinachoonekana ni mwanga kwa mbali. lakin nikigusa screen ninasikia kabisa ikisense.naomben mwenye ujuz anisaidie hakuna nilichokifanya ni simu imebadilika gafla. natanguliza shukrani.