Msaada juu ya nauli ya Dar to Arusha

Msaada juu ya nauli ya Dar to Arusha

Joined
Mar 3, 2020
Posts
70
Reaction score
39
Wana Jf natarajia kusafiri Alhamisi 24/12/ 2020. kwenda arusha nilikuwa naomba kujua nauli zikoje kwa basi na daraja lake!
Ukizingatia nauli za Dar to Arusha naskia huwa zinapanda msomi huu wa sikukuu!

Natanguliza shukran
 
Tarehe hizo kupata gari unalolihitaji siyo rahisi labda usafiri binafsi
 
Back
Top Bottom