Mzizi Tanzania
Member
- Mar 3, 2020
- 70
- 39
Wana Jf natarajia kusafiri Alhamisi 24/12/ 2020. kwenda arusha nilikuwa naomba kujua nauli zikoje kwa basi na daraja lake!
Ukizingatia nauli za Dar to Arusha naskia huwa zinapanda msomi huu wa sikukuu!
Natanguliza shukran
Ukizingatia nauli za Dar to Arusha naskia huwa zinapanda msomi huu wa sikukuu!
Natanguliza shukran