MSAADA JUU YA LAPTOP YANGU

MSAADA JUU YA LAPTOP YANGU

Joined
Apr 14, 2017
Posts
14
Reaction score
13
Hello ndugu zangu,laptop yangu inatatizo la kujizima hasa inapochemka baada ya kuwa imefanya kazi sana.Sasa hivi naona tatizo linazidi haiwezi kukaa hata lisaa limoja bila kujizima tofauti na zamani ilikua inaweza kukaa hata wiki mbili bila kuzima.Nimejaribu kuuliza juu ya tatizo wapo waloniambia processor imechoka,wengine fen ndo tatizo,sasa sijaelewa kipi ni jibu.Naomba nililete hili mbele yenu,nijue tatizo na ukubwa watatizo kama waweza tibika.....Shukrani sana nduguzanguni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huwa cpu zina limit ya joto, likifika nyuzi fulani hivi computer inajizima.

kuna kitu kinaitwa thermal paste, hii huwa wanapaka juu ya cpu inasaidia sana isipate joto,

ipo kama dawa ya mswaki unapakaa kidogo juu ya cpu na kuisambaza kiasi
applying-thermal-paste-to-cpu-processor-motherboard-35129913.jpg


sijui wapi wanaziuza hapa bongo, ila bei si sana maana huko online ni kama dola 1 au 2,
 
huwa cpu zina limit ya joto, likifika nyuzi fulani hivi computer inajizima.

kuna kitu kinaitwa thermal paste, hii huwa wanapaka juu ya cpu inasaidia sana isipate joto,

ipo kama dawa ya mswaki unapakaa kidogo juu ya cpu na kuisambaza kiasi
applying-thermal-paste-to-cpu-processor-motherboard-35129913.jpg


sijui wapi wanaziuza hapa bongo, ila bei si sana maana huko online ni kama dola 1 au 2,
Aksante Mr ntajaribu kuulizia nadukani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom