Msaada juu ya Kusafiri na Gari za IT

Msaada juu ya Kusafiri na Gari za IT

Jamani, on a serious note gari za it ni gari gani? Mimi nafikiri ni ninapoziona zimeandikwa it maana yake imetoka bandarini na inaenda kuwekwa namba. Kwa maelezomyenu wajuvi ni kama vile yaaani na zenyewe zinapigaga route kwenda na kurudi.

IT means in transit. ni gari ambazo zinaagixwa nje kupitia bandari ya dar na kupelekwa,malawi,congo zambia etc na zinakuwa hazijalipiwa ushuru, ja hazipigi route bali zinaenda kuuzwa huko kwao au inakuwa ni mtu kaagiza. It ni jina lilolozoeleka tu. hapo mkuu umenielewa?
 
we mbufi sana!!umeambiwa nenda pale UBT!!!CI UKAULIZIE PALE TERMINAL!!!MBONA HUJIAMINI HIV??????WE MBENA WA WAPI UCIYEJIAMINI

mbena wa Idindilimunyu karibu numbu mkuu.
 
IT kifo nje nje nilipoteza hawara aliyekuwa akinipa yote, nilimkataza kupanda IT akawa mbishi nikamwambia bora adake Fuso alikataa kona za lyofi zilichukua uhai wa kiburudisho changu.

mkuu kwa huu ushuhuda wako wacha nikapande mbaula tu mkuu.
 
IT ni noma,mi nilikua naenda mbeya niko 160 zikawa zinanipita kama nipo spidi 60... halafu mbele nikakuta moja imenyooka kwenye korongo na zile zilizonipita zimepark pembeni zinajaribu kusaidia mwenzao..na zimekula vichwa kama kawa
 
Nimekupenda bure lol!
Pole kwa kupoteza kiburudisho kupitia IT

IT kifo nje nje nilipoteza hawara aliyekuwa akinipa yote, nilimkataza kupanda IT akawa mbishi nikamwambia bora adake Fuso alikataa kona za lyofi zilichukua uhai wa kiburudisho changu.
 
Wakuu gari za IT ziko special kivipi? Kwani si huwaga ni zile gari zilizopita bandarini na kupelekwa nchi za jirani. Sasa huo u-IT wake unachangiaje kuzifanya zote ziwe za aina moja--kwa maana ya spidi kubwa. Naomba ufafanuzi wakuu. Ina maana hata kibajaji kikiwa na namba za IT basi na chenyewe kinakuwa kinakimbia kuliko Land Cruiser? Au hii imekaaje? Kuna uhusiano gani kati ya IT na spidi kubwa?
 
IT ni noma,mi nilikua naenda mbeya niko 160 zikawa zinanipita kama nipo spidi 60... halafu mbele nikakuta moja imenyooka kwenye korongo na zile zilizonipita zimepark pembeni zinajaribu kusaidia mwenzao..na zimekula vichwa kama kawa

Ulikuwa na baskeli?
 
Ulikuwa na baskeli?
hahaaa..baiskeli siyo...hawa jamaa wananyooshaga mguu hadi mwisho hata kama gari inazaidi ya 200, na ukikaa vibaya wanakuchana tu,wakati narudi noah moja IT ilikua inaovertake malori mawili wakati inaona nami nakuja,unanyooka tu porini
 
Wakuu gari za IT ziko special kivipi? Kwani si huwaga ni zile gari zilizopita bandarini na kupelekwa nchi za jirani. Sasa huo u-IT wake unachangiaje kuzifanya zote ziwe za aina moja--kwa maana ya spidi kubwa. Naomba ufafanuzi wakuu. Ina maana hata kibajaji kikiwa na namba za IT basi na chenyewe kinakuwa kinakimbia kuliko Land Cruiser? Au hii imekaaje? Kuna uhusiano gani kati ya IT na spidi kubwa?
Zile gari zinakuaga mpya(used imported frm japan tunaziita hivyo pia ) kwa hiyo zinakua ziko vizuri barabarani na jamaa wanakanyaga zote kwa hiyo zikichomoka huzikamati...maana wanawahi boarder wageuke tena..ila kwa madereva wanaopenda ligi wanaweza kushindana nao ila uwe umejizila
 
mkuu kwa huu ushuhuda wako wacha nikapande mbaula tu mkuu.

Usiogope mkuu IT mbona kawaida sana, wanaoendesha ni vjana wa hapahapa ambao ndo imekuwa ajira yao sasa kuendesha IT, wanapeleka boda wanaiacha wanarudi kusubiiri nyingine. Nenda pale chang'ombe veta mataa oil com pale ndo kijiwe chetu ama mbezi mwisho karibia na kanisa muulizie Pdiddy
 
IT ni gari kama zilivyo gari nyingine,suala la spidi,ajali na mambo mengine yanatokea kama ambavyo gari nyingne zinavyopata.
MSITISHANE WADAU.
 
Jamani, on a serious note gari za it ni gari gani? Mimi nafikiri ni ninapoziona zimeandikwa it maana yake imetoka bandarini na inaenda kuwekwa namba. Kwa maelezomyenu wajuvi ni kama vile yaaani na zenyewe zinapigaga route kwenda na kurudi.

Hujatembea mdogo lakini ipo hivi yale ni magari yanayosafirishwa kwenda nje ya nchi huwezi kuta it toka Mbeya kwenda dar
 
Back
Top Bottom