PeterLugomo
Member
- Aug 27, 2015
- 19
- 17
Habari wakulima, mimi naomba kupata mawazo chanya juu ya kilimo cha tumbaku hasa kwa mkoa wa mbeya wilayani chunya maana nimeelekezwa huko kilimo kinakubali.
Kwa wazoefu na hili zao naomba uzoefu wenu.
Natanguliza shukrani zangu kwenu.
Kwa wazoefu na hili zao naomba uzoefu wenu.
Natanguliza shukrani zangu kwenu.