Mbingo
JF-Expert Member
- Mar 20, 2014
- 411
- 230
Jf ni home of great thinkerSawa mzee baba
Jf ni home of great thinkerSawa mzee baba
Watu hawajui kutofautishaOfl ni Dodoma ndugu
Vita supreme haijapa pointKaribu shuleni Mwalimu mpya nunua tanfoam utanishukuru
Una makalio mazito na weweNilikuwa nalo naona linazama upande wa kiuno
Hahaha wageni wangu ndio nimeoa ujueUna makalio mazito na wewe
Lipi ni godoro bora kati ya Tanfoam na Vita Supreme? Mwenye uzoefu maana hapa natafuta godoro bora la kudumu mda mrefu.
Life is too short to be serious all the timeJf ni home of great thinker
Tuwekee picha ili tutofautishe.Lipi ni godoro bora kati ya Tanfoam na Vita Supreme? Mwenye uzoefu maana hapa natafuta godoro bora la kudumu mda mrefu.
Si mpaka uwe sukuma land upate hizo raw materialMagodoro ya Pamba ni kiboko kwa hayo yote mnayo yataja. Pamba zikipungua unajaza tu zingine
yote yapo unaletewa hadi chumbani kwa bei ya offaNever try super banco
Linavunja uti wa mgongo
Vitasupreme ndio the Best ina desinty 28 warranty miaka 7 Hadi 12 iyo tanfom haina density ya 28 kwaiyo vitasupreme ipo juuu Bei yake ni kubwa kuliko tanfom ndio mama wengi wanazikimbia
Best au TanfoamJamani nahitaji kununua godoro ninunue godoro la kampuni gani linalodumu na gumu? Ushauri tafadhali