Niliajiliwa na kampuni moja binafsi kwa kipindi cha mwaka mmoja kabla ya kuondoka na kujiajiri mwenyewe. Sasa leo nimeenda kuangalia statement yangu na kuona kuna kiasi flani kizuri tu.
Nikaomba form nijaze ili nichukue changu nikaambiwa haiwezekani hadi nifikishe miaka 55. Haya ni ya kweli?? Maana nilikuwa kwenye private sector sio ajira za serikali amabazo ni permanent.
Nikaomba form nijaze ili nichukue changu nikaambiwa haiwezekani hadi nifikishe miaka 55. Haya ni ya kweli?? Maana nilikuwa kwenye private sector sio ajira za serikali amabazo ni permanent.