Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,338
- 9,080
Habari ni majanga kidogo nimepata kwa sasa sina simu ya smart na whasapp ya pc inataka uscan je nijinsi gani nitaweza kuitumia kwa kusajili namba moja kwa moja.
Ahsante
Ahsante