NASRI1 Senior Member Aug 2, 2019 188 266 Jan 15, 2020 #1 Habari za mchana wana JF. Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza, naomba kujua jinsi ya kutumia Safaricom simcard kwa upande wa: 1. M-pesa 2. Vifurushi ya Internet kununua kwa njia ya kawaida na M-Pesa. Asante
Habari za mchana wana JF. Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza, naomba kujua jinsi ya kutumia Safaricom simcard kwa upande wa: 1. M-pesa 2. Vifurushi ya Internet kununua kwa njia ya kawaida na M-Pesa. Asante
NASRI1 Senior Member Aug 2, 2019 188 266 Jan 15, 2020 Thread starter #2 Godaddy Tanzania said: Nahitaji line ya SafariCom he wewe umeipata wapi. Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Mcheki huyu jamaa (Yupo Arusha: +254769908251) What's app and voice call.
Godaddy Tanzania said: Nahitaji line ya SafariCom he wewe umeipata wapi. Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Mcheki huyu jamaa (Yupo Arusha: +254769908251) What's app and voice call.
W wayneogoa JF-Expert Member Apr 28, 2020 385 503 Jul 13, 2020 #3 Namimi nahitaji lain niko dar aliyenayo anipm
kibangubangu JF-Expert Member Dec 10, 2018 212 285 Jan 10, 2022 #4 mwenye line ya Safaricom Kenya au MTN Uganda anicheki