Pastory Kimaryo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 967
- 672
Jamani naomben msaada nina shida na hiki kisimu changu itel 2173, nilivyokinunua nilidhani ningepata wepesi kwenye upande wa meseji kumbe mambo ndivyo sivyo.
Nikienda kwenye meseji input method inayotokea kwanza ni hiyo hapo "En" na siwez kuitumia na nikijaribu kuiweka kawaida inanibid nichukue mlolongo mrefu kidogo which actually feels cumbersome so naomben kwa anayejua jinsi ya kuiset input method ya kawaida "Abc" kwa urahisi anisaidie au/na pia kwa anayejua jinsi ya kutumie hiyo input method ya "En" pia anifundishe huenda hiyo ndio nzuri.View attachment 1977027
Nikienda kwenye meseji input method inayotokea kwanza ni hiyo hapo "En" na siwez kuitumia na nikijaribu kuiweka kawaida inanibid nichukue mlolongo mrefu kidogo which actually feels cumbersome so naomben kwa anayejua jinsi ya kuiset input method ya kawaida "Abc" kwa urahisi anisaidie au/na pia kwa anayejua jinsi ya kutumie hiyo input method ya "En" pia anifundishe huenda hiyo ndio nzuri.View attachment 1977027