Braza ungeuliza aina ya laptop kabla hujatoa jibu la jumla.pole sana mkuu, ila isahau tu labda uyo mwizi aamuwe akuletee mwenyewe
nb: hata ungekua na iyo IP sijui MAC , isingesaidia
mtoa mada anaongelea kuhusu kui 'track', kwa kutumia ip/mac addressBraza ungeuliza aina ya laptop kabla hujatoa jibu la jumla.
Kuna laptops zinatengenezwa SA security yake ni kama Mac. Nililetewa ilikua na Windows 10 so natakiwa nipige chini hiyo Windows.
Inagoma kuboot kivyovyote mpaka uingize password ya User.
Inagoma kuireset.
Na inakupa onyo.
hakuna njia kaka! we hesabu hasaraNashindwa cha kufanya...
It was dell inspiron 15 7000 series 2 in 1
Hakuna njia yoyote kabisa.....?