Kutumia dish la azam kwenye FTA receiver

Smart Technician

JF-Expert Member
Feb 22, 2015
653
824
Habari za leo natumai mu wazima wa afya

Nilikua natumia king'amuzi cha azam na dish lake wezi wakaniibia kingamuzi na dvd sasa nimebaki na dish bila kingamuzi ,tv na receiver ya mediacom ya FTA channel ya dish kubwa la analogue ambayo ilipona wezi mana ilikua ndani

Nilikua nauliza kama naweza kuseti vipi hio receiver kwenye dish la azam ili nicheki hata FTA channel za bongo mana nimechomeka waya wa dish la azam kwenye receiver.

Nilijaribu kupitia baadhi ya nyuzi kuhusu hii ishu nimeshindwa kupata channel sababu sjajua ni add satelite gani na niweke transponder zipi mana nilizoziona kwenye nyuzi mbalimbali ni za miaka mingi nimejaribu zimegoma

Nahitaji msaada wako ulieunga ukafanikiwa nami niweze cheki FTA channel za bongo
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa wote mtaoshiriki.
 
kwa upande huo ambao dishi la azam limeelekea sasa hivi utapata tu chanell za dini kama TV Africa, imani na tv ya mashia inaitwa IBNTV kama sijakosea, pia zipo za dini za kingereza, chanell sijui za zambia za muvi na azam xtra ya matangazo na chanell nyengine mbali mbali za africa magharibi zinazoongea kifaransa nafikiri.

link ya tv na frequency hii hapa

Eutelsat 7B at 7.0°E - LyngSat

ila hio receiver yako ya mediacom ni mpeg4 au mpeg 2? kama ni 2 hutazipata.

chanell za Tanzania itabidi ubadili mwelekeo wa dish, hadi hapa

Intelsat 906 at 64.2°E - LyngSat

utapata almost chanell zote, TBC, chanell 10, itv, eatv, capital, agape etc

hapo wameandika unaweza kuzishika na KU (dish kama lako) , ngoja waje wataalamu zaidi kama inawezekana watasema,

ila sio mbaya kujaribu mwenyewe kama una muda free. tumia simu download satelite finder kisha utafute hio satelite then elekeza dish huko halafu ujaribu kusearch.
 
kwa upande huo ambao dishi la azam limeelekea sasa hivi utapata tu chanell za dini kama TV Africa, imani na tv ya mashia inaitwa IBNTV kama sijakosea, pia zipo za dini za kingereza, chanell sijui za zambia za muvi na azam xtra ya matangazo na chanell nyengine mbali mbali za africa magharibi zinazoongea kifaransa nafikiri.

link ya tv na frequency hii hapa

Eutelsat 7B at 7.0°E - LyngSat

ila hio receiver yako ya mediacom ni mpeg4 au mpeg 2? kama ni 2 hutazipata.

chanell za Tanzania itabidi ubadili mwelekeo wa dish, hadi hapa

Intelsat 906 at 64.2°E - LyngSat

utapata almost chanell zote, TBC, chanell 10, itv, eatv, capital, agape etc

hapo wameandika unaweza kuzishika na KU (dish kama lako) , ngoja waje wataalamu zaidi kama inawezekana watasema,

ila sio mbaya kujaribu mwenyewe kama una muda free. tumia simu download satelite finder kisha utafute hio satelite then elekeza dish huko halafu ujaribu kusearch.
Nashukuru sana kwa ufafanuzi nlikua naomba kujua jinsi ya kutambua receiver za mpega 2 na mpega 4
 
Kanunue king'amuzi kipya cha Azam elf 80,pale Azam TV buguruni tazara
 
kwa upande huo ambao dishi la azam limeelekea sasa hivi utapata tu chanell za dini kama TV Africa, imani na tv ya mashia inaitwa IBNTV kama sijakosea, pia zipo za dini za kingereza, chanell sijui za zambia za muvi na azam xtra ya matangazo na chanell nyengine mbali mbali za africa magharibi zinazoongea kifaransa nafikiri.

link ya tv na frequency hii hapa

Eutelsat 7B at 7.0°E - LyngSat

ila hio receiver yako ya mediacom ni mpeg4 au mpeg 2? kama ni 2 hutazipata.

chanell za Tanzania itabidi ubadili mwelekeo wa dish, hadi hapa

Intelsat 906 at 64.2°E - LyngSat

utapata almost chanell zote, TBC, chanell 10, itv, eatv, capital, agape etc

hapo wameandika unaweza kuzishika na KU (dish kama lako) , ngoja waje wataalamu zaidi kama inawezekana watasema,

ila sio mbaya kujaribu mwenyewe kama una muda free. tumia simu download satelite finder kisha utafute hio satelite then elekeza dish huko halafu ujaribu kusearch.
Mimi natafuta receiver(FTA) ambayo inaweza kufungua channels zote za canalsat!....ni receiver ipi nzuri kwa kazi hiyo?
 
Back
Top Bottom