Msaada jinsi ya kusajili kampuni

Msaada jinsi ya kusajili kampuni

EL ELYON

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2013
Posts
1,675
Reaction score
2,115
WAKUU mmebarikiwa sana na Mwenyezi Mungu.

Jamani nipo kwenye mchakato wa kusajiri kampuni shida niliyokutana nayo brela online kila nikiandika jina la kampuni inaniambia nimekosea jina la kampuni sijajua nakosea nini maana jina ni jipya na wala halifanani na jina lingine naombeni msaada wenu wazoefu wa kazi hii

Jina la kampuni nalosajiri naliandika hivi ...... GENERAL TRADING LIMITED. Je kuna kosa gani hapo ndugu zangu.

Najua hizi ni kazi za watu wanaingiza kipato bt mi naomba kusaidiwa hapo tu nijue nakosea nini.

Asanteni.
 
Back
Top Bottom