Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 19,074
- 49,773
Sijui kama umesha solve tatizo lako. Ila kama bado nenda kwa hawa jamaa Autovision wako Sinza Mapambano.
Nimepoteza namba yao ila Instagram wanatumia autovisiontz
Wana gharama kidogo kusafisha taa Tsh 70,000 ila haichukui dakika 10 taa zote mbili.
Ila zinarudi kwenye hali yake ya dukani. Sijajua kama ni permanent au ni kwa miaka/miezi kadhaa ila wako vizuri.
Nimepoteza namba yao ila Instagram wanatumia autovisiontz
Wana gharama kidogo kusafisha taa Tsh 70,000 ila haichukui dakika 10 taa zote mbili.
Ila zinarudi kwenye hali yake ya dukani. Sijajua kama ni permanent au ni kwa miaka/miezi kadhaa ila wako vizuri.