chazy255
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 1,363
- 1,752
Habarini ndugu. Jumamosi ya tar 06.07.2019 niliangusha simu yangu na ikaokotwa na mwanafunzi wa shule ya sekondari fulani, kijana alitu pa simu cards zote akaenda kuuza kwa mtu ambaye mie ninamfahamu so simu nikaiona kwa jamaa.
Sasa jana nilieenda mjini Mwanza kuiflash maana dogo alipeleka kwa mtu itolewe password wakashindwa wakaiharibu kabisa. Jna nilisajili card mpya za simu na kuinstall upya apps kama whatsapp, jf na nk.
Sasa naomba msaada nataka niipate account ya whatsapp ya ile namba iliyopotea na magroup yote.
Sasa jana nilieenda mjini Mwanza kuiflash maana dogo alipeleka kwa mtu itolewe password wakashindwa wakaiharibu kabisa. Jna nilisajili card mpya za simu na kuinstall upya apps kama whatsapp, jf na nk.
Sasa naomba msaada nataka niipate account ya whatsapp ya ile namba iliyopotea na magroup yote.