mwayungi
JF-Expert Member
- May 9, 2017
- 1,814
- 3,079
Wapendwa wa JF habarini, poleni na majukumu.
Kama kichwa cha habari kilivyo,
Naomba ushauri ili niweze kupunguza au kuondoa kabisa hasira katika maisha yangu.
Wakuu ninatabia ya kupandwa hasira hata kwa jambo dogo mimi ni mtu wa kukasirika sana, nikitofautiana tu na mtu kwa jambo lolote lazima nikasirike. Hasira hizi zimenifanya baadhi ya ndugu na marafiki wapungue nimeshindwa kujitawala.
Nahitaji ushauri wenu nifanye nini ili nisiwe mtu wa hasira hasira.
Kama kichwa cha habari kilivyo,
Naomba ushauri ili niweze kupunguza au kuondoa kabisa hasira katika maisha yangu.
Wakuu ninatabia ya kupandwa hasira hata kwa jambo dogo mimi ni mtu wa kukasirika sana, nikitofautiana tu na mtu kwa jambo lolote lazima nikasirike. Hasira hizi zimenifanya baadhi ya ndugu na marafiki wapungue nimeshindwa kujitawala.
Nahitaji ushauri wenu nifanye nini ili nisiwe mtu wa hasira hasira.