Kijana Mstaafu
Member
- Apr 21, 2020
- 65
- 79
Wakuu habari,
Naomba kueleweshwa namna ninayoweza kupokea mzigo kutoka Marekani kupitia njia za ndege au maji.
Kiufupi kuna rafiki yangu huko amesema nifuatilie then nimjuze ili anitumie package ndogo tuu hadi hapa Bongo.
Humu najua kuna wazoefu na hivyo natanguliza shukrani zangu za dhati.
Nilipo nipo Bukombe, Geita.
Asante
Naomba kueleweshwa namna ninayoweza kupokea mzigo kutoka Marekani kupitia njia za ndege au maji.
Kiufupi kuna rafiki yangu huko amesema nifuatilie then nimjuze ili anitumie package ndogo tuu hadi hapa Bongo.
Humu najua kuna wazoefu na hivyo natanguliza shukrani zangu za dhati.
Nilipo nipo Bukombe, Geita.
Asante