Msaada Jinsi ya kupata antivirus

Msaada Jinsi ya kupata antivirus

  • Tayari Ndugu

Mwl.RCT usituchoke, naomba nami nitumie hiyo link. Natumia windows 7, home premium.
Laptop yangu imekuwa inakwama Sana(inastack).Natumia Microsoft essentials, lakini naona imezidiwa. Natunguliza shukrani.
 
Mwl.RCT usituchoke, naomba nami nitumie hiyo link. Natumia windows 7, home premium. Laptop yangu imekuwa inakwama Sana(inastack).Natumia Microsoft essentials, lakini naona imezidiwa. Natunguliza shukrani.
Hapo kwenye bold fanya yafuatayo:
  1. Press Start THEN CLICK run , au bofya [Win KEY] + R ,Kisha andika %temp% hapo itafunguka folder yenye files nyiingi delete files zote
  2. Rudia tena Press Start THEN CLICK run , au bofya [Win KEY] + R , Kisha andika prefetch itafunguka folder nyengine yenye files nyiingi delete files zote
  3. Rudia tena Press Start THEN CLICK run , au bofya [Win KEY] + R , Kisha andika MSCONFIG , Kisha click Startup tab , Then click Disable All , Click Apply then OK- Restart PC
  4. Download CCleaner hapa| http://goo.gl/0mI9dQ
Angalia hii video ili kujifunza jinsi ya kutumia CCleaner


  • Mpaka hapo utakuwa umeondoa tatizo ulilokuwanalo na pia utakuwa umeongeza ufanisi wa PC yako kwa asilimia 70
Ukimaliza hilo zoezi hapo juu Unistall Antivirus unayotumia sasa na install hiyo niliyokutumia kwenye PM
KARIBU Ndugu
Sorry mkuu bt my pm iko empty so if u wont mybd naomba ntumie tna
  • Angalia PM, Tayari nimetuma
 
Last edited by a moderator:
Hapo kwenye bold fanya yafuatayo:
  1. Press Start THEN CLICK run , au bofya [Win KEY] + R ,Kisha andika %temp% hapo itafunguka folder yenye files nyiingi delete files zote
  2. Rudia tena Press Start THEN CLICK run , au bofya [Win KEY] + R , Kisha andika prefetch itafunguka folder nyengine yenye files nyiingi delete files zote
  3. Rudia tena Press Start THEN CLICK run , au bofya [Win KEY] + R , Kisha andika MSCONFIG , Kisha click Startup tab , Then click Disable All , Click Apply then OK- Restart PC
  4. Download CCleaner hapa| http://goo.gl/0mI9dQ
Angalia hii video ili kujifunza jinsi ya kutumia CCleaner


  • Mpaka hapo utakuwa umeondoa tatizo ulilokuwanalo na pia utakuwa umeongeza ufanisi wa PC yako kwa asilimia 70
Ukimaliza hilo zoezi hapo juu Unistall Antivirus unayotumia sasa na install hiyo niliyokutumia kwenye PM
KARIBU Ndugu

  • Angalia PM, Tayari nimetuma


Asante mkuu
 
Last edited by a moderator:
mwl .RCT tafadhali mim pia naomba nitumie hiyo Ant vrs, pia naomba nisaidie Pc yangu nikitaka kulog in Jf haileti notification nimejaribu kwatumia mozira na o epera zote zinakataa, nabaki msomaji tu wa habari kuchangi ndio shidaaa
 
tAYARI NDUGU -aNGALIA pm
mwl .RCT tafadhali mim pia naomba nitumie hiyo Ant vrs, pia naomba nisaidie Pc yangu nikitaka kulog in Jf haileti notification nimejaribu kwatumia mozira na o epera zote zinakataa, nabaki msomaji tu wa habari kuchangi ndio shidaaa
 
Japo nimechelewa, ila naomba pia kama hautojali Mwl.RCT uni PM hiyo link ya Kaspersky please.
 
Last edited by a moderator:
aisee kaka na mimi naomba hiyo link tafadhali..........,shukran in advance
 
Back
Top Bottom