Ndugu wana bodi kompyuta yangu imevamiwa na ramsoware (kama sijakosea) na file zote katika mfumo wa pdf doc xls zimebadilika extension na hivyo kutosomeka kama ilivyo kawaida.Naleta kwenu ombi la kusaidiwa maarifa namna ya kukabiliana na tatizo hili.
Natamguliza shukurani.
Natamguliza shukurani.