Msaada Jinsi ya kunua vocha ya StarTimes kwa M-Pesa?

Msaada Jinsi ya kunua vocha ya StarTimes kwa M-Pesa?

savedlema

Member
Joined
Oct 2, 2011
Posts
32
Reaction score
5
Habari zenu?
Naomba mnielekeze namna ya kununua voucher ya StarTimes kwa MPESA. (Nimejaribu ku-search thread nyingine hapa sijaona)
Pale ninapoambiwa niingize namba ya account, hivi namba ya account ni ipi?
-Ina digits ngapi?
-Je, ni zile zilizo katika barcodes mbili?
-Je ni ile iliyoandikwa kwa kalamu kwenye risiti?
(King'amuzi alinunua mtu mwingine)

Asanteni.
 
Habari zenu?
Naomba mnielekeze namna ya kununua voucher ya StarTimes kwa MPESA. (Nimejaribu ku-search thread nyingine hapa sijaona)
Pale ninapoambiwa niingize namba ya account, hivi namba ya account ni ipi?
-Ina digits ngapi?
-Je, ni zile zilizo katika barcodes mbili?
-Je ni ile iliyoandikwa kwa kalamu kwenye risiti?
(King'amuzi alinunua mtu mwingine)

Asanteni.
cfam,ila ni bora ununue kingine ma iyo kampunni inaonekana magumash kinouma
 
*150*00#
Baada ya menyu kutokea chagua namba nne
Ingiza namba ya kampuni ambayo ni 700800
Ingiza namba ya kumbukumbu ya malipo»hii inapatikana nyuma ya smartcard iliyopo ndani ya kingamuzi upande wa kulia,chomoa kadi hiyo kisha angalia namba zilizoko upande wa chini wa card
Ingiza kiasi cha pesa unachotaka kununua
Ingiza namba yako ya siri ya mpesa
Bonyeza moja kuthibitisha
YOU ARE ALMOST DONE
 
*150*00#
Baada ya menyu kutokea chagua namba nne
Ingiza namba ya kampuni ambayo ni 700800
Ingiza namba ya kumbukumbu ya malipo»hii inapatikana nyuma ya smartcard iliyopo ndani ya kingamuzi upande wa kulia,chomoa kadi hiyo kisha angalia namba zilizoko upande wa chini wa card
Ingiza kiasi cha pesa unachotaka kununua
Ingiza namba yako ya siri ya mpesa
Bonyeza moja kuthibitisha
YOU ARE ALMOST DONE

Asante sana mheshimiwa.
Nimeona taarifa ya StarTimes kuhusu kuondolewa kwa Star TV, ila sasa naona sina cha kufanya hapo ingawa kuna vipindi nitavimiss sana. Siwezi kununua ving'amuzi viwili, so basi tena. Wewe utafanyaje?
 
cfam,ila ni bora ununue kingine ma iyo kampunni inaonekana magumash kinouma

Kimeta,
Nitakushangaza kuwa hapa Arusha nimetumia king'amuzi cha StarTimes kwa mwezi mmoja sasa na its perfect, hakina tatizo kabisa (isipokuwa tuu ITV na EATV zaonekana picha bila sauti)
Otherwise kipo poa, hakuna scratch hata kidogo.
 
Kimeta,
Nitakushangaza kuwa hapa Arusha nimetumia king'amuzi cha StarTimes kwa mwezi mmoja sasa na its perfect, hakina tatizo kabisa (isipokuwa tuu ITV na EATV zaonekana picha bila sauti)
Otherwise kipo poa, hakuna scratch hata kidogo.
aise chali angu iyo kampun kimeo c umeskia star tv ishatoka,afu eatv na itv nazo zipo ka hazipo sa icho si kilio jomba
 
*150*00#
Baada ya menyu kutokea chagua namba nne
Ingiza namba ya kampuni ambayo ni 700800
Ingiza namba ya kumbukumbu ya malipo»hii inapatikana nyuma ya smartcard iliyopo ndani ya kingamuzi upande wa kulia,chomoa kadi hiyo kisha angalia namba zilizoko upande wa chini wa card
Ingiza kiasi cha pesa unachotaka kununua
Ingiza namba yako ya siri ya mpesa
Bonyeza moja kuthibitisha
YOU ARE ALMOST DONE
NAMBA YA KAMPUNI 700100
 
Back
Top Bottom