kAZI IPOKwa msaada wa Haraka,connect modem yako kwenye laptop yako,kisha connect na Head set/Head Phone. Alafu piga 100 ambayo ni namba ya huduma kwa wateja kisha uwaeleze shida yako nao watakuconnect. Au tafuta simu ya TTCL ya mezani au mkononi kisha wapigie na ukiwatajia namba ya simu ya modem yako watakuunganisha.
Ikishindikana nenda ofisi zao