Msaada: Jinsi ya kuipata iPhone 12 pro max imeibiwa

Kma ni kijana wa kazi nna uhakika hata kuzima data hajui na ameweka line yake kwenye hyo simu. Kwahyo itakua ina connect mtandaoni kila akiiwasha sababu haja zima data na hajafikiria hlo
 
Pole sana mimi waliondoka na iphone pamoja na Mac nikaenda osterbay ila hakuna nilicho ambulia zaidi ya kuvisamehe tu
 
Wakuu kweli teknolojia ni kiboko nimefanikiwa kuzipata simu zangu zote
 
Hata aki connect hotspot itaonekana number yake kule tcra. Na sijajua jamaa kaiba hyo simu ili iweje wakat hawezi kuitumia. Labda kma anataka kuuza spare

Mkuu nilifanikiwa kuzipata zote.
 

Mkuu find my iPhone ndo Imenisaidia kumkamata mwizi. Kumbe hizi iphone kuanzia 12 hata mtu asipowasha/connect kwa internet inatuma tu location aisee. Hata samsung S10plus ina option ya ku enable offline locator.....
 
Mkuu nilifanikiwa kuzipata zote.
Alafu watu humu walikua wanasema uachane nao eti mapolisi watakuzungusha tu [emoji23][emoji23].

Mali ya bei kubwa hyo lazima waitafute na kuirudisha. Pole sana kwa kuhangaika mkuu. Lakini mali imesharudi salama
 
Alafu watu humu walikua wanasema uachane nao eti mapolisi watakuzungusha tu [emoji23][emoji23].

Mali ya bei kubwa hyo lazima waitafute na kuirudisha. Pole sana kwa kuhangaika mkuu. Lakini mali imesharudi salama
Asante sana mkuu...

Kuna mengi nimejifunza kuhusu hizi simu za bei ghali. Huwezi amini nilifanikiwa kwa kuitrack mimi mwenyewe tu kupitia find my phone na jamaa hakuwai connect na Internet lkn simu ilikua inanipa location hadi tukampata.
 
Niliipata mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…