Wanaoiba hizi simu kali hawajui kama hawawezi tumia kwa laini nyingine, Wao huingiza tu laini baadae wanashangaa wanatiwa nguvuni mchana kweupe, Wavunje bank wachukue mzigo wa maana hata polisi wakipelekewa hio kesi wajue wanaenda kukutana na wapambanaji sio unaiba simu ya mfukoni itakusaidia nini?