Msaada: Jinsi ya kuigundua Simu Original na Fake

Msaada: Jinsi ya kuigundua Simu Original na Fake

kwa bei nakataa kwani kuna watu wengi wanalizwa mjini kwa kununua sim feki kwa bei kubwa wakifikiri ni original,
simu feki itaijua hata kwa quality ya sauti yake na colour, mara nyingi simu feki ikiita inaweza kupata presha sauti kali mbaya mikwaruzo haieleweki. rangi kali picha haileleweki, font ya maneno inatofautiana kati ya simu hiyohiyo na ya mwenzako kama yako.
 
Ni rahisi sana kugundua, we iweke tu kwenye kidumu cha maji kama nusu saa hivi, kisha ukiitoa na ikaendelea kufanya kazi kama kawaida, hiyo ni Origino,isipofanya,huyo ni chinese.

Kwenye msafara wa MAMBA,hata..................!
 
Simu fake inatambulika kwanza kwa bei yake ikiwa utanunua hapa Bongo kama vile maeneo ya Kariakoo nk. Pili utagundua kuwa ni fake kwa ku dail *#06# kisha hesabia zile tarakimu. Tarakimu ya Saba na Nane ikiwa ni tarakimu 00 basi hiyo ni ORIGINAL.
Mfano 253978008745678 Kama utapata tarakimu hii basi hiyo ni ORIGINAL.

Ya kwangu tarakimu ya 7 ni 0 ya nane ni 5. je ni fake???
 
Nimefanya hivyo yangu NOKIA imeandika LIFE TIMER 0000691
Njia nyingine *#0000# Kama ni halisi(ORIGINAL) itakupa data na usiishie hapo endelea kubofya kitufe cha ok utapata mengi zaidi.
 
Back
Top Bottom