Msaada: Jinsi ya kufungua simu yangu, nimesahau pattern

Msaada: Jinsi ya kufungua simu yangu, nimesahau pattern

Nakuelekeza njia mbili,ya kwanza data zitapotea zote, ya pili data hazipotei. No1:zima simu yako na isubiri kama dk 1-2 halafu bonyeza power button na volume up button kwa wakati mmoja itatokea recovery mode utaona sehemu delete all user data chagua hiyo na hapo itafuta data zote baada ya hapo iwashe kazi imekwisha ila data kama picha,video nk vitapotea, njia ya pili data hazipotei nayo ni NO2 tumia computer download and install android sdk tools for run adb commands, connect your phone with computer via Usb halafu fungua folder ya android sdk tools users>app data>local>Android>android-SDK>platform-tools then click on blank space hold shift and click right mouse button and select open command window.To check your device is properly connected or not put command adb devices baada ya hapo weka command adb shell rm /data/system/gesture. key baada ya hapo reboot your phone UMEMALIZA!!ukiwa na tatizo lolote la smartphones au laptops au lcd computers au chochote kinachohusu IT nicheki +255628892077 whatsapp
 
Naomba msaada on how to unlock simu.

Ilikua na pattern sasa mtu kaweka pattern na kukosea for more than 10 times and now the phone is askng for gmail username and siijui cz ckubadili google acount nilivyoinunua......is there a way for me to unlock it without the google username ?

Tafadhal naombeni msaada wenu
Ni simu aina gan na ni model gani???
 
sio simu zote zinazo kubali mfumo huo na tofautisha cpu chip kuna qualcomm kuna mtk kuna spreadrum kwa hiyo hata formating yake inategemea key tofauti
 
pls call namba 0713425729 kwa msaada zaidi kuhusu kukutolea patten na aina gani ya cm?
 
mi nimeinstall lakn cjaelewa hzo command maana nmetype inasema errors
 
Back
Top Bottom