Msaada: Jinsi ya kufungua simu yangu, nimesahau pattern

Msaada: Jinsi ya kufungua simu yangu, nimesahau pattern

There you are...
Ndio maana nikasema sio kila simu inatumia hiyo trick ya volume key na power key.
Mtoa mada aseme anatumia simu aina gani ili asaidiwe.

Na kuna simu za Chinese phones (generic) na zenyewe hutumia button tatu. Iliyoongezeka kwa hizo simu ni (home button hii ya touch) ivyo iakulazimu u-hold kwa nguvu ili mguso uwe detected. Niliwahi kuifanya hii kwa simu ya dogo...ilikuwa itel
 
unataka kuifanya nini? we umeingia kwenye download mode na sio recovery mode.

dah kweli mkuu. Nimerudia muda ule ule nimeweza ku reset.

Sasa inafanya kazi vizuri.
 
Jamani mimi nina huawei y300. Ya mke wangu nae kaizingua pattern wala hakumbuki akaunti aliyoifungulia.
Asa nimejaribu kufanya factory reset, still ile pattern haitoki, yaan ukireboot inafika mahali inadai pattern (ikumbukwe nimepitia kwenye recovery mode) naombeni kama kuna namna nyingine naweza kutumia wakuu.!!
 
Jamani mimi nina huawei y300. Ya mke wangu nae kaizingua pattern wala hakumbuki akaunti aliyoifungulia.
Asa nimejaribu kufanya factory reset, still ile pattern haitoki, yaan ukireboot inafika mahali inadai pattern (ikumbukwe nimepitia kwenye recovery mode) naombeni kama kuna namna nyingine naweza kutumia wakuu.!!
Fanya hard reseting mkuuuu.

Haigomi tena ila uta loose data za kwenye simu
 
Fanya hard reseting mkuuuu.

Haigomi tena ila uta loose data za kwenye simu
Ok nashukuru mkuu, pengine kama ina wezekana nisaidie procedures mkuu! Ishu ya ku loose data sio tatizo tena kwa sasa. Mkuu.
 
Ok nashukuru mkuu, pengine kama ina wezekana nisaidie procedures mkuu! Ishu ya ku loose data sio tatizo tena kwa sasa. Mkuu.
Toa betrt kwa sekunde chache then weka tena.

Bonyeza na shikiria volume up then power buton. Shikiria vyote viwili usiachie hadi uone kuna maandish yata tokea tumia volume up n volume down kwenda juu na chini. Power buton ku select.

Chagua wipe n kuseret
 
Toa betrt kwa sekunde chache then weka tena.

Bonyeza na shikiria volume up then power buton. Shikiria vyote viwili usiachie hadi uone kuna maandish yata tokea tumia volume up n volume down kwenda juu na chini. Power buton ku select.

Chagua wipe n kuseret
Ok, so nichague wipe data and factory reset au? Au wipe data cache? Kuna ile nyingine cjui nini partition vle? Sorry ebu nifafanulie vizuri apo mkuu, nisije nkajikuta narudia nilichokwisha kifanya huko nyuma.
 
Ok, so nichague wipe data and factory reset au? Au wipe data cache? Kuna ile nyingine cjui nini partition vle? Sorry ebu nifafanulie vizuri apo mkuu, nisije nkajikuta narudia nilichokwisha kifanya huko nyuma.
Usijali


Chagua wipe data and factory reset
 
Haiwez goma may be umekosea au umechagua kitu sicho upo wapi
Nipo pugu!
Kuhusu kufanya hard reset cjakosea mkuu, maana mpaka nilijaribu na ku google nkapewa maelekezo hayo hayo, ikagoma. Ikabidi nijaribu kwa kutumia command system (DOS) kwenye computer napo imegoma mkuu!
 
Nipo pugu!
Kuhusu kufanya hard reset cjakosea mkuu, maana mpaka nilijaribu na ku google nkapewa maelekezo hayo hayo, ikagoma. Ikabidi nijaribu kwa kutumia command system (DOS) kwenye computer napo imegoma mkuu!
Duh.. Hii kali ya mwaka pattern inakuwepo hadi after factory reset, embu rudia tena Wipe Data and factory reset.. Ikikataa, kitu ambacho siwezi amini basi fanya Firmware update..
 
Duh.. Hii kali ya mwaka pattern inakuwepo hadi after factory reset, embu rudia tena Wipe Data and factory reset.. Ikikataa, kitu ambacho siwezi amini basi fanya Firmware update..
Labda ngoja ninaribu hiyo firmware update mkuu, lakini hizo zingine nsharudia rudia kama mara 4 hivi bila mafanikio.
 
Labda ngoja ninaribu hiyo firmware update mkuu, lakini hizo zingine nsharudia rudia kama mara 4 hivi bila mafanikio.
Cheki model ya simu yako, maana lazima install firmware inayoendana na simu yako
 
Cheki model ya simu yako, maana lazima install firmware inayoendana na simu yako
Ok, model ni huawei ascend y300! Labda kama inawezekana nipe na steps za kufanikisha hili ili nisije nkasumbuka sana mkuu.
 
Ok, model ni huawei ascend y300! Labda kama inawezekana nipe na steps za kufanikisha hili ili nisije nkasumbuka sana mkuu.
Fungua simu kwenye battery nausome model number yote Y300-?? number zinazofuata
 
Back
Top Bottom